Vurugu zatokea Uganda baada ya kukamatwa Bobi Wine/ Ripoti mpya inawanyoshea kidole cha lawama wanasiasa walio na ushawishi mkubwa kwa kufadhili uhalifu kwenye sekta ya magari ya umma maarufu matatu/ Marekani imetanagaza itaipunguza idadi ya wanajeshi wake nchini Afghanistan na Iraq/ Ujerumani: Ujerumani Die Mannschaft imepokea imepata kipigo cha mabao 6-0 Kutoka kwa timu ya Taifa ya Uhispania