Uganda yaishutumu Marekani kuingilia siasa zake za ndani/ Serikali ya Kenya imeanzisha oparesheni eneo la Kapedo kufuatia msururu wa mashambulizi/ Tanzania: Viongozi wateule wa Magufuli wameelezwa kuwa ni mzigo, hali inayotakwa kuwa ni kumuangusha rais huyo/ Rwanda yawataka wananchi kusalia nyumbani wiki nzima/ Uturuki kuimarisha uhusiano wake na Umoja wa Ulaya