1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.02.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Februari 2020

Tanzania: Hukumu katika kesi inayomkabili mwanzilishi wa mtandao wa Jamii Forum, Maxence Melo iliyotarajiwa leo imeahirishwa hadi mwezi Aprili. Melo amezungumza na mwandishi wetu Goeorge Njogopa/ Tanzania: Chama cha upinzani cha NCCR Mageuzi kimetoa onyo kwa chama tawala nchini humo CCM/ Iran imethibitisha kuwa watu wawili nchini humo wamekutwa na homa inayotokana na virusi vya Corona

https://p.dw.com/p/3Y0s5