1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.05.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Mei 2020

Mzozo wa kidiplomasia unatokota kati ya Kenya na Tanzania baada ya nchi hizo mbili kufungiana mipaka kutokana na madai ya kila nchi kuhusu kusambaa kwa virusi vya corona/ Burundi kabla ya uchaguzi/ HRW: Kukamatwa kwa Kabuga ni ushindi kwa waathirika wa mauaji ya kimbari Rwanda/ Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane amejiuzulu / Idadi ya wahanga wa ghasia za Afghanistan yaongezeka Aprili

https://p.dw.com/p/3cUB5