1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20 WAUWAWA IRAK

24 Machi 2007
https://p.dw.com/p/CCFi

BAGHDAD:

Lori la mtu aliejiripua lilihujumu leo kituo cha polisi mjini Baghdad na kuua watu 20 huku magari 3 ya waliojitolea mhanga wakati mmoja yalihujumu kituo cha njiani ya ukaguzi magharibi mwa Iraq.

Miongoni mwa watu 20 waliouwawa katika hujuma ya kituo cha polisi huko Dora wanajumuisha polisi 14 na wafungwa 3 waliokua wakifanya kazi katika jengo hilo.Watu wengined 26 wsamejeruhiwa wengi wao ni polisi.