1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.01.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Januari 2021

Biden ataapishwa leo kuwa rais wa 46 wa Marekani/ Uganda baada ya uchaguzi: Waganda wenyewe wanasemaje kuhusu kile kilichotokea, hali ilivyo sasa na mwelekeo wa taifa hilo?/ Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Afrika ya kati vimeyapinga matokeo ya uchaguzi/ Kenya: Ongezeko la vijana wanaojiunga na makundi ya kigaidi

https://p.dw.com/p/3oAoe