1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.01.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Januari 2020

Viongozi wa kisiasa na biashara wa dunia walikusanyika katika eneo la milima ya Alpsla Davos nchini Uwisi/ Mahojiano kuangalia ni kwa namna gani zoezi la kuzima laini za simu litaathiri uchumi wa taifa la Tanzania na watumiaji wa simu/ Kongo: Mgomo wa madaktari katika hospitali za serikali/ China: Idadi ya watu walioathiriwa na virusi vya Corona imefikia karibu watu 300

https://p.dw.com/p/3Wau5