1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.01.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Januari 2020

Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania (TCRA) imeanza kuzifunga laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole/ Mkutano wa uchumi wa dunia waanza Davos/ Takriban watu nusu bilioni hawana kazi nzuri ulimwenguni: UN/ Magavana na wabunge ambao wanaandamwa na kesi au tuhuma za uhalifu wa aina yoyote watapokonywa walinzi na silaha

https://p.dw.com/p/3WXvF