1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.02.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S21 Februari 2020

Mauaji yaliyofanywa mjini Hanau katika jimo la Hessen nchini Ujerumani yanathibitisha kuwa chuki inayokua kwa kasi imewasili Ujerumani/ Mwenyekiti wa baraza la Usalama na Amani la Umoja wa Afrika Mohd Idris Farah kutoka Djibouti leo amemaliza ziara yake ya siku 3 nchini Sudan Kusini/ Kumekuwa na ongezeko kubwa la vitendo vya udhalilishaji na unyanyasaji watoto nchini Tanzania kupitia mitandao.

https://p.dw.com/p/3Y74v