1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.10.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S21 Oktoba 2021

Mamia ya malori yaliyosheheni bidhaa yamekwama katika bandari nchini Sudan, makontena kadhaa yako bandarini hapo yakiwa hayajaguswa+++Maandamano mapya yaliyojawa vurugu yameanza tena kushika kasi katika taifa pekee la utawala wa kifalme usiofuata katiba barani Afrika la Eswatini+++Urusi yaialika Taliban kwa mazungumzo ya NATO.

https://p.dw.com/p/41xUO