1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.10.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Oktoba 2021

Watu 16 wameuwawa baada ya waasi kutoka Uganda ADF kukishambulia kijiji cha Kalembo+++UN yapongeza juhudi za Umoja wa Afrika katika kusaidia mchakato wa kisiasa eneo la Maziwa Makuu+++Rais wa Uturuki Reccep Tayyip Erdogan amefanya ziara katika nchi kadhaa za Afrika wiki hii kuelekea mkutano wa kibiashara na uchumi kati ya Uturuki na Afrika.

https://p.dw.com/p/41xsx