1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.11.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Novemba 2019

Jeshi la Burundi limetangaza kufanyika shambulio katika eneo la Mabaya mkoani Cibitoke magharibi mwa nchi hiyo lililoendeshwa na watu wenye silaha walioingia eneo hilo wakitokea Rwanda// Ujerumani na Ufaransa zinataka wataalamu kutafuta njia za kufanyia marekebisho jumuiya ya kujihami ya NATO baada ya shambulizi la Uturuki katika eneo la Kaskazini mwa Syria.

https://p.dw.com/p/3TU0t