1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.04.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S22 Aprili 2021

Rais Samia ametubia bunge la Tanzania na kutoa dira ya serikali ya awamu ya sita// Rais wa Marekani Joe Biden ameahidi kupunguza hadi nusu, kiwango cha gesi chafu kinachozalishwa na nchi yake ifikiapo mwaka 2030// Rais wa Jamuhuri wa Kidemokrasia ya Kongo Félix Tshisekedi alifanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya, Uhuru Kenyatta jijini Kinshasa.

https://p.dw.com/p/3sRY1