1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.06.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S22 Juni 2022

Mahakama Kuu imeyatupilia mbali maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 wanachama wa Chadema kutokana na kasoro katika jina la mjibu maombi wa kwanza/ Vifo vya Tetemeko la Ardhi Afghanistan vyafikia 1,000/ Amnesty: Raia lazima walindwe Kongo/ Wajumbe wa Baraza la usalama la Umoja wa Afrika wako ziarani Burundi / Unyanyapaa dhidi ya walioambukizwa virusi vya HIV bado ni changamoto barani Afrika

https://p.dw.com/p/4D5MF