Kinachoendelea kuhusu kuuawa mwandishi habari Jamal Khashoggi/ Takriban wahamiaji haramu 380,000 raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameondoka Angola kufuatia operesheni kubwa inayowalenga walanguzi wa madini/ Trump amesema taifa lake litajiondoa katika makubaliano muhimu ya kihistoria ya kudhibiti silaha za nyuklia yaliyofikiwa kati ya Marekani na Urusi/ Hali tete ya kisualama, Marsabit