Juhudi za dharura za kimataifa za kujaribu kupunguza kasi ya kusambaa virusi vya Corona zimeongezeka leo Jumatatu huku mataifa zaidi yakijiunga katika harakati za kuweka sheria kali za kuwazuia watu kutembea mitaani// Burundi hadi wakati huu haijaripoti kisa cha maambukizi ya virusi vya Corona//Ujerumani- Kansela Merkel yuko karantini, lakini hakuna kitu cha kuhofia.