1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.02.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S24 Februari 2021

Leo ni siku ya mwisho katika siku saba zilizowekwa na Serikali ya Zanzibar kuomboleza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad / Tanzania: Chama cha ACT Wazalendo kinajiandaa kuanza mchakato wa kumsaka mrithi wa Maalim Seif Sharif Hamad/ Ujerumani ingependa kuwa na mahusiano mazuri na Ethiopia/ Mwanamume halisi project Kenya

https://p.dw.com/p/3pmWV