1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.06.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Juni 2022

Mkutano wa kilele wa viongozi wa Jumuiya ya Madola mjini Kigali, Rwanda viongozi wamesema nchi zilizoendelea hazipaswi kulikimbia jukumu lao la kuzisaidia nchi zinazoendelea kutokana na matatizo yanayozikabili+++Mawaziri wa mambo ya kigeni, kilimo na maendeleo kutoka kote ulimwenguni wamekusanyika mjini Berlin.

https://p.dw.com/p/4DDIz