Vyama vya Ujerumani vyafikia makubaliano ya kuunda serikali mpya/ Wajawazito kurejea shuleni Tanzania/ Uganda: Mkutano wa ngazi ya mawaziri wanaoshughulikia vitendo vya ukeketaji/ Human Rights Watch: Walinzi wa mpakani wa Belarus waliwatesa wahamiaji katika mpaka wa nchi hiyo na Poland, mataifa yote mawili yalikiuka pakubwa haki za binadamu