1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.02.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S26 Februari 2020

Mgonjwa wa Corona Ujerumani yuko mahututi/ Mashambulizi ya serikali ya Syria yasababisha vifo 20 Idlib/ Utulivu warudi New Delhi baada ya ghasia kuuwa watu 20/ Kenya: Majukumu muhimu ya serikali ya kaunti ya Nairobi yamekabidhiwa kwa serikali kuu ya Kenya, kufuatia makubaliano yaliosainiwa na Gavana wa Nairobi Mike Soko na Waziri wa Ugatuzi/ Mbio za kumtafuta kiongozi mpya wa CDU zashika kasi

https://p.dw.com/p/3YS7j