1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.02.2021 - Matangazo ya Asubuhi

27 Februari 2021

Serikali ya Saudi Arabia yakanusha mwanamfalme Mohammed Bin Salmin kuagiza kuuliwa kwa Jamal Khashoggi. Syria na Iran zimelaani shambulizi lililofanywa na Marekani jana dhidi ya wapiganaji wenye silaha. Zaidi ya wafungwa 400 wametoroka jela nchini Haiti.

https://p.dw.com/p/3pztA