1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.05.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S27 Mei 2022

Ukraine- Zelensky aishtumu Urusi kwa kufanya mauaji ya halaiki+++Uganda yatishia kuwafukuza wafanyakazi wa afya wanaogoma+++Uchaguzi wa Rais mpya wa chama cha Mawakili Tanganyika TLS umefanyika leo mjini Arusha, kaskazini mwa Tanzania+++Mchakato wa maandalizi ya zoezi la Sensa ya watu na makazi unaendelea nchini Tanzania, huku wanahabari wakielezwa kuwa sensa ya mwaka huu ni ya kipekee.

https://p.dw.com/p/4By9J