Makali ya janga la COVID-19 yamewafanya baadhi ya wakaazi nchini Kenya kujitoa mhanga kukabiliana na ueneaji wa virusi vya corona kwa kushiriki kuyafukizia maeneo ya umma pamoja na shughuli za kuhamasisha umma// Rais mteule wa Marekani Joe Biden ameanza kufanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaoshika nyadhifa tofauti za uwaziri katika serikali yake.