1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.01.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S28 Januari 2022

Vyombo vya usalama nchini Kenya vimesema vimejiandaa vya kutosha kukabiliana vitendo vya uvunjifu wa usalama wakati na baada ya uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe tisa Agosti mwaka huu+++Rwanda itaufungua mpaka wake na Uganda siku ya Jumatatu+++Tanzania- Mahakama Kuu leo imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia.

https://p.dw.com/p/46F0M