1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.06.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S29 Juni 2022

NATO yajiandaa kuongeza wanajeshi na silaha Ulaya Mashariki/ Kenya: Waziri wa usalama wa ndani ametangaza mabadiliko katika uongozi wa maafisa wa polisi na kuamrisha oparesheni kali dhidi ya makundi ya kihalifu Nakuru/ Hali ya kisiasa nchini Libya/ Congo: Wanawake wa Kivu Kusini wamemtaka rais Tshisekedi atangaze kwa uwazi makubaliano yaliyo sainiwa hapo awali kati ya serikali na waasi wa M23

https://p.dw.com/p/4DR50