1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.09.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S29 Septemba 2020

Tanzania- Tundu Lissu ambaye alitakiwa kufika mbele ya kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi amesema hatofanya hivyo kwa sababu chombo hicho hakikufuta utaratibu// CCM, CHADEMA na CUF zaendelea na kampeni za urais// Kila upande unaeleza kuathirika kwa kiasi kikubwa wakati huu ambapo mapigano yakiendelea kati ya Majeshi ya Azerbaijan na Armenia.

https://p.dw.com/p/3jB12