1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.09.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S30 Septemba 2021

KANU yamteua Gideon Moi kuwania urais Kenya 2022+++Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na korti ya Paris +++Biashara ya ndani ya jumuiya ya Afrika Mashariki yadorora +++Maafisa wa China na Marekani wamekutana kutafuta njia za kusawazisha tofauti zao kwenye masuala ya kibiashara, kiteknolojia na kijeshi yaliyosababisha mivutano mikali kati yao.

https://p.dw.com/p/416eN