1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.10.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S30 Oktoba 2019

Serikali ya Lebanon yaanguka, waandamanaji wadai zaidi/ Saad Hariri alitangaza kujiuzulu kufuatia wiki kadhaa za maandamano dhidi ya serikali yake. Lakini hata kama hatua hii inamaanisha ushindi kwa waandamanaji, je ushindi huo una utata gani ndani yake? >Uchambuzi / Mafahali wa Syria wakutana katika meza ya mazungumzo Geneva/ Kongo: Zaidi ya wapiganaji mia sita wa Maimai wamesalimisha silaha zao

https://p.dw.com/p/3SBsd