1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Al-Sissi ataka suluhisho wakimbizi Afrika

Mohammed Khelef
12 Februari 2019

Katika siku ya mwisho ya mkutano wa kilele wa mataifa ya Afrika mjini Addis Ababa hapo jana, Al-Sissi aliwaambia viongozi wenzake kwamba wanapaswa kukabiliana na tatizo la wakimbizi, wakimbizi wa ndani na wahamiaji kwa njia jumuishi.

https://p.dw.com/p/3DC4K