1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAKUBA:watu wapatao 28 wauawa nchini Irak

25 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBMn

Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la bomu katika mji wa Bakuba nchini Irak sasa imefikia 28.

Mshambuliaji wa kujitoa mhanga alijilipua ndani ya msikiti wakati watu walipokuwa wanafuturu

. Viongozi wa kishia na kisuni walikuwamo msikitini humo, pamoja na gavana na mkuu wa polisi wa mji wa Bakuba wakati wa shambulio hilo.Watu wengine 25 walijeruhiwa.