BEIJING.Mkutano wa viongozi wa Afrika na China umefunguliwa leo
3 Novemba 2006Matangazo
Jamuhuri ya umma wa China inapanga kutangaza hatua kadhaa za kuimarisha uhusiano wa kibishara na misaada kwa nchi za Afrika.
Hayo yametangazwa wakti mkutano wa viongozi wa bara la Afrika na jamuhuri ya umma wa China ulipofunguliwa leo hii mjini Beijing.