1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bundesliga: Leverkusen wakaribia ubingwa

8 Aprili 2024

Bayer Leverkusen inaendelea kuandikisha rekodi ya ushindi wa tisa mfululizo ya kutopoteza katika michezo 41 ya mashindano yote msimu huu na wanahitaji ushindi mmoja tu kutoka kwa mechi zao zilizosalia ili kushinda taji la Bundesliga kwa mara ya kwanza.

https://p.dw.com/p/4eYMY