Je Afrika imeshindwa kulinda ipasavyo nembo zake? Mjadala umekuwa ukiendelea kuhusu kunyakuliwa kwa nembo za Afrika zinazojumuisha maeneo ya vivutio. Je zipo sera madhubuti za ulinzi wa nembo za Afrika? Saumu Mwasimba anaangazia hayo na mengine mengi kwenye kipindi Utamaduni na Sanaa