1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

COLOGNE: Waislamu Ujerumani walaani ugaidi na matumizi ya nguvu

7 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBS9

Baraza la Waislamu nchini Ujerumani,limelaani ugaidi na matumizi ya nguvu yanayofanywa kwa jina la dini.Baraza hilo mjini Cologne,limetoa mwito kwa Waislamu wote wanaoishi nchini Ujerumani, kuhifadhi amani katika jamii na wapinge itikadi kali na wala isiruhusiwe katika misikiti.