1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Homa ya matumbo (typhoid) bado tishio

5 Aprili 2017

Wajumbe kutoka mataifa 45 wanaokutana Uganda wana hofu kuhusu kukabiliana na homa ya matumbo. Ugonjwa huo unaosambazwa kupitia hasa vyakula na maji ni tishio hasa kwa jamii zinazoishi katika makazi duni.

https://p.dw.com/p/2ajwe
Mkutano juu ya homa ya matumbo Kampala
Picha: DW/E.Lubega

J3.05.04.2017-Uganda: International conference on typhoid - MP3-Stereo

                       

Typhoid huwaathiri hasa watu kwenye mazingira duni kama vile wakimbizi hawa wanaoishi kwenye kambi Kigoma, Tanzania
Typhoid huwaathiri hasa watu kwenye mazingira duni kama vile wakimbizi hawa wanaoishi kwenye kambi Kigoma, TanzaniaPicha: Reuters/T. Mukoya