1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

IEBC na serikali zashindwa kukubaliana

29 Septemba 2016

Tume ya uchaguzi Kenya haijaafikiana na serikali juu ya kiwango cha malipo kwa makamishna wanaotaka kubanduliwa madarakani. Upinzani unasisitiza makamisha wa tume waondoke kufikia tarehe Mosi Oktoba.

https://p.dw.com/p/2Qj1G
Waandamanaji wanaoipinga IEBCn
Waandamanaji wanaoipinga IEBCPicha: DW/A. Kiti

J2.29.09.2016 IEBC Crisis - MP3-Stereo