1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, kuna vigezo vya kuchaguwa mwenza wa ndoa?

5 Oktoba 2011

Kuna wengi ambao wanaamini kuwa kinachomfanya mtu kumchaguwa mwenzake kuwa mwenza wa maisha, mume au mke, ni kutokana na vigezo maalum alivyojiwekea. Lakini je, ni kweli kuna vigezo vya kabla au vigezo huja baadaye?

https://p.dw.com/p/RpHo
Maharusi wakiingia kanisani.
Maharusi wakiingia kanisani.Picha: picture-alliance / dpa

Hawra Shamte anazungumza na vijana juu ya kile wanachoamini kuwa kinawasukuma kufanya maamuzi ya kuoa au kuolewa na mtu fulani.

Mtayarishaji/Msimulizi: Hawra Shamte
Mhariri: Othman Miraji