1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, Taifa Stars itaibana Morocco katika michuano ya AFCON?

Amina Mjahid17 Januari 2024

Watanzania wanasubiri kwa hamu kubwa kuona kama timu yao ya Taifa Stars itaanza vyema mashindano ya kombe la Mataifa ya Afrika AFCON yanayoendelea nchini Ivory Coast. Josephat Charo anaichambua mechi hiyo akiwa studioni na Tatu Karema.

https://p.dw.com/p/4bMgf