Kasa wako katika hatari ya kuangamia kwani wanakabiliana na athari za uchafuzi wa mazingira, ujenzi kwenye fuo za bahari na shughuli za uvuvi hasa wa meli kubwa. Hali hiyo ndiyo inayotusukuma kwenye mada ya leo ya makala ya mazingira na Thelma Mwadzaya.