1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL: Afghanistan mzalishaji mkuu wa afyuni duniani

26 Juni 2007
https://p.dw.com/p/CBoQ

Mazao ya afyuni yanazidi kuongezeka nchini Afghanistan.Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa,zaidi ya asilimia 90 ya afyuni duniani hutoka Afghanistan.Ripoti hiyo mpya inasema,katika mwaka 2006,tani 6,100 za afyuni zilivunwa Afghanistan.