1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kampala: Mazungumzo kati ya serikali ya DRC na M23 yaendelea

9 Aprili 2013

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 ambayo yalikuwa yamesitishwa kwa kipindi cha wiki tatu yamerejelewa tena mjini Kampala.

https://p.dw.com/p/18CGZ
Mazungumzo kati ya Kongo und M23 huko Kampala
Mazungumzo kati ya Kongo und M23 huko KampalaPicha: DW/J.Kanyunyu

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 ambayo yalikuwa yamesitishwa kwa kipindi cha wiki tatu yamerejelewa tena mjini Kampala.

Kwenye kikao cha kufungua awamu ya tatu ya mazungumzo hayo, ujumbe wa serikali ya Kinshasa ulisema njia ya kipekee ya kuhakikisha kuwa waasi wa M23 hawatashambuliwa na wanajeshi wa Umoja wa Mataifa ni kwa kuhakikisha kuwa mazungumzo yanafanikishwa. Mwandishi wetu wa Kampala leylah Ndinda na taarifa zaidi.

Insert

Mwandishi Leyla Ndinda

Mhariri Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi