Uchimbaji mafuta unatarajiwa kuanza katika wilaya ya Bolisa kaskazini magharibi mwa Uganda. Hata hivyo wakaazi wanakosoa mchakato unaotumiwa kuwafidia ili waondoke katika makaazi yao ya jadi. Lubega Emmanuel anasimulia zaidi katika makala ya Makala Mbiu ya Mnyonge.