1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kimbunga chaua Mexico

2 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBTN

MEXICO:

Watu kadhaa wameuwawa katika kimbunga Henriette kilichovuma kandoni mwa mwambao wa pwani wa Mexico wa bahari ya Pacifik kabla hakikuelekea mbali baharini.Mtu mmoja na wanawe 2 wameuwawa huko Acapulco.Watototo 3 zaidi walifariki baada ya matope kuangusha nyumba yao walimo kuwamo.