1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kinagaubaga na Suleiman Shahbal, gwiji la siasa Mombasa

Fathiya Omar28 Juni 2022

Suleiman Shahbal ni mmoja wa vigogo wa siasa katika mji wa Mombasa nchini Kenya. Katika kuelekea uchaguzi mkuu nchini humo, mwandishi wetu Fathiya Omar alikutana na mwanasiasa huyo mashuhuri na kuzungumza naye Kinagaubaga.

https://p.dw.com/p/4DLhk