Kipchoge: Sikio langu la kulia liliziba
5 Oktoba 2020Matangazo
"Mbio zilikuwa nzuri nilianza vyema, kulikuwa na baridi lakini nilipata tatizo dogo tu na sikio langu la kulia, liliziba na nilijaribu kulizibua ila haikuwezekana. Ila yote tisa huu ni mchezo na katika michezo leo utakuwa juu kesho utakuwa chini," alisema Kipchoge.
Hii ilikuwa ni marathon ya pili Kipchoge kushindwa katika taaluma yake hiyo ya ukimbiaji wa mbio za masafa marefu.