Kutana na Yuning Shen, Mchina msomi na mtafiti wa Kiswahili
Lugha ya Kiswahili inazidi kusambaa ulimwenguni na kuwavutia watu wa mataifa kadhaa kuisoma na kuifanyia utafiti. Mmoja wao ni raia wa China, Yuning Shen, ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Hamburg, anakofanya utafiti kuhusu ghala la maneno ya Kiswahili kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter.
Soma pia
-
Matukio ya Kisiasa | 10.12.2018
Ripoti ya SIPRI: Watengenezaji wa silaha wakubwa duniani
-
Matukio ya Kisiasa | 09.10.2018
IMF yasema uchumi wa dunia umeshuka
-
Matukio ya Kisiasa | 05.10.2018
Pence adai China inaingilia Siasa za Marekani
-
Masuala ya Jamii | 11.02.2019
Utafiti: Mabadiliko ya tabia nchi ni kitisho kikubwa duniani