1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makaburi zaidi ya pamoja yagunduliwa Congo

Sylvia Mwehozi
4 Aprili 2017

Urusi imeanza maombolezo ya siku tatu baada ya shambulio la bomu lililouwa watu 14, watu 58 wameuwawa kwa gesi ya sumu nchini Syria na Umoja wa Mataifa umegundua makaburi ya pamoja zaidi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Papo kwa Papo 04.04.2017

https://p.dw.com/p/2af5l