1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Uganda baada ya uchaguzi

Zainab Aziz22 Januari 2021

Kipindi cha Maoni safari hii kinatathmini yaliyojiri nchini Uganda katika uchaguzi mkuu uliofanyika Januari 14. Rais Museveni aliibuka mshindi tena kuwa rais. Waganda wana matarajio gani? Sikiliza mitizamo mbalimbali ya wachambuzi kwenye Meza ya Duara. Nahodha ni Zainab Aziz.

https://p.dw.com/p/3oGhJ