1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashambulizi ya waasi yauwa watu 8 DRC

Mitima Delachance6 Julai 2020

Watu wanane wakiwemo askari 6 wa jeshi la Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wameuawa mwishoni mwa juma katika mashambulizi ya makundi 3 yenye silaha dhidi ya ngome za jeshi la Congo katika kijiji cha Tuwe-Tuwe wilayani Mwenga. Jeshi la nchi hiyo limesema watu 9 wamejeruhiwa vibaya. Sikiliza ripoti ya Mitima Delachance.

https://p.dw.com/p/3eqgy