Mkimbizi wa kike kutoka Sudan Kusini amefanikiwa kutoroka mjini Cairo alikokuwa akishikiliwa kwa miezi mitatu ambako alikuwa kudhalilishwa kingono, Hali ya wasiwasi yaendelea Sudan, kutokana na mvutano wa umiliki wa ardhi ikiwa ni zaidi ya miaka 15 tangu kutokea machafuko ya Darfur , Tamasha la saba la filamu la shirika la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch lakamilika Nairobi,